Katibu kamati wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Ndg. Chacha Nyakega akizungumza na Baadhi ya Wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Mwanne Mchemba (Kushoto) akimsikiliza Katibu kamati wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Ndg. Chacha Nyakega (kulia) ambae ni mtoa maada akizungumza na Wajumbe wa kamati hiyo (hawapo kwenye picha) wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakimsikiliza Mkurugenzi wa kamati za Bunge Ndg. Athuman Hussein (wa pili kulia) wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma.
Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ambae pia ni Mbunge wa Mpanda Mjini, Mhe. Sebastian kapufi (katikati)akisisitiza jambo wakati wa semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma. Kushoto ni Mjumbe na Mbunge wa Mgogoni Mhe. Dkt. Ally Suleiman na kulia ni Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Silafu Maufi
Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Ndogo, Mhe. Taska Mbogo (Kushoto)akizungumza na Wajumbe wa Kamati hiyo ambao pia Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa majadiliano katika semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma.
Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Ndogo ambao pia ni Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa katika majadiliano baada ya semina ya kuwajengea uelewa Wabunge kuhusu dhana ya miswada itakayojadiliwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge la Kumi na mbili (12) unaotegemewa kuanza tarehe 4 Septemba, 2018 Jijini Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...