Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akizungumza na na Balozi wa India nchini Mhe. Sandeep Arya Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Balozi wa India nchini Mhe. Sandeep Arya akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai alipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai akiagana na na Balozi wa India nchini Mhe. Sandeep Arya mara baada ya kuzungumza naye Ofisini kwake Jijini Dodoma.
PICHA NA BUNGE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...