Wananchi wakiangalia ajali ya basi la mwendo kasi lenye namba za usajili, T 967 DGV  iliyohusishwa na ajali ya barabarani na gari dogo lenye namba za usajili  T 584 DLA kwenye makutano ya Barabara ya Morogoro na Umoja wa Mataifa eneo la Faya Jijini Dar es Salaam, ambapo mwenye gari dogo inasemekana alikuwa akielekea Hospitali ya Taifa Muhimbili akimpeleka mgonjwa na wote wakitokea upande mmoja wa Faya na basi la mwendokasi likitokea Gerezani kueleke Ubungo.  Madereva na abiria wa magari yote mawili walisalimika
 Askari wa Usalama Barabarani (kulia) akikagua  ajali hiyo akiwa na wananchi wakiangalia ajali ya basi la mwendo kasi lenye namba za usajili, T 967 DGV  iliyohusishwa na Gari lenye namba za usajili T 584 DLA kwenye makutano ya Barabara ya Morogoro na Umoja wa Mataifa eneo la Faya Jijini Dar es Salaam

 Askari wa Usalama Barabarani (mwenye kofia nyeupe) akipiga simu kuomba gari maalumu ya kuvuta gari lililokuwa limegonga Basi la Mwendokasi eneo la Faya.

Gari lenye namba za Usajili T 584 DLA baada ya ajali kutokea eneo la Faya
Basi la mwendoa kasi baada ya kugongwa.  
(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...