Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 amemtwanga bondia wa Uingereza Sam Egginton kwa K.O kwenye round ya 4 kwenye pambano lao la raundi 10 la kusindikiza mchezo baina ya Amir Khan na Samuel Vargas lililofanyika Jumamosi Septemba 8, 2018 katika ukumbi Arena Birmingham (zamani Barclaycard Arena/NIA), mjini Birmingham kitongoji cha West Midlands, Uingereza. Vyombo vya habari za ndondi vimeutaja ushindi wa kijana huyo wa Kitanzania kama wa kushtua ikizingatiwa mpinzani wake ni bingwa wa mikanda kadhaa mikumbwa ya kimataifa. Kusoma zaidi BOFYA HAPA
Home
Unlabelled
Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo Amnyuka Sam Eggington wa uingereza kwa KO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...