Bondia Mtanzania Hassan Mwakinyo mwenye umri wa miaka 23 amemtwanga bondia wa Uingereza Sam Egginton kwa K.O kwenye round ya 4  kwenye pambano lao la raundi 10 la kusindikiza mchezo baina ya  Amir Khan na  Samuel Vargas lililofanyika Jumamosi Septemba 8, 2018 katika ukumbi Arena Birmingham  (zamani Barclaycard Arena/NIA), mjini Birmingham kitongoji cha  West Midlands, Uingereza. Vyombo vya habari za ndondi vimeutaja ushindi wa kijana huyo wa Kitanzania kama wa kushtua  ikizingatiwa mpinzani wake ni bingwa wa mikanda kadhaa mikumbwa ya kimataifa. Kusoma zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...