Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. John Jingu (kushoto) akipokea nyaraka za Ofisi kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu Sihaba Nkinga(kulia) katika Ofisi za Wizara mara baada ya kuapishwa kushika nafasi hiyo katika Ikulu ya Chamwino Dodoma jana.
Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. John Jingu (kushoto) na aliyekuwa Katibu Mkuu Sihaba Nkinga(kulia) wakijadiliana jambo baada ya kukabidhiana Ofisi mara baada ya kuapishwa kushika nafasi hiyo katika Ikulu ya Chamwino Dodoma jana.
Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. John Jingu (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu Sihaba Nkinga (kulia) baada ya kukabidhiana Ofisi mara baada ya kuapishwa kushika nafasi hiyo katika Ikulu ya Chamwino Dodoma jana. Picha na Kitengo cha Mawasiliano WAMJW
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...