LEO 19 SEPTEMBER 19.SIKU YA KUZALIWA KAMANDA RAS MAKUNJA..
Siku kama ya leo 19 Septemba ndio siku ya kuzaliwa mkuu wa bendi ya Ngoma Africa aka FFU ya kule ujerumani, mwanamuziki Ebrahim Makunja a.k.a kamanda Ras Makunja a.k.a mkuu wa viumbe wa ajabu "Anunnaki Aliens" alizaliwa mjini Dar-es-Salaam, akiwa mtoto wa kwanza wa kiume wa Bw.Jumanne Saleh Makunja Ngayonga (RIP) na Bi.Moza Hassan Seifu Mpili (Mama Makunja).
pia unaweza kuburudika na kusherekea naye katika kambi yao FFU-Ughaibuni at www.reverbnation.com/ ngomaafricaband
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...