Unapozungumzia nchi ya Msumbiji kuhusu kupata uhuru lazima utaigusa nchi ya Tanzania, Tanzania ni miongoni mwa nchi iliyotoa mchango mkubwa katika kuhakikisha nchi ya Msumbiji inapata Uhuru.
Makazi ya wapigania uhuru wa Msumbili yalikuwa kijiji cha Masonya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma, leo hii kambi ya Masonya imekuwa ni Shule ya Sekondari ya wasichana, je unafahamu kama sehemu hiyo inahistoria ndefu iliyosahaulika basi fatilia katika Video Hii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...