Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakifuatilia kwa karibu Uwasilishwaji wa Taarifa ya Ukaguzi katika Mkoa wa Singida walipotembelea Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Mkoa wa Singida.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti Mheshimiwa George Simbachawene akifuatilia Uwasilishwaji wa Taarifa kutoka kwa Naibu wa Mdhibiti Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Ndg. Wendy Massoy katika Kikao kilichofanyika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida hii leo, Kamati hiyo ipo katika Ziara Mkoani humo.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mheshimiwa George Simbachawene wakiwa katika kikao na Watendaji Wakuu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida hii leo Kamati hiyo ilipofanya ziara yake Mkoani humo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...