Sheikh Mkuu  wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salim (wa pili kushoto) akiongoza maandamano ya kumbukizi ya kifo cha Imam Hussein Ally wa dhehebu la kiislamu la Shia, jiini Dar es Salaam juzi jioni. Kushoto kwake ni  balozi wa Iran nchini, Mosa Farhang na anayefuatia ni Katibu wa kamati ya Amani Mkoa wa Dar es Salaam, Padri John Solomon.
Waumini wa dini ya kiislamu wa dhehebu la Shia wakiwa katika maandamano ya kumbukizi ya kifo cha Imam Hussein Ally, jiini Dar es Salaam jana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...