Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (kushoto) akizungumza na Masaneta kutoka Bunge la Ufaransa walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wakwanza toka kulia ni Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
   Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier (kushoto) akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (katikati) wakati yeye pamoja na Masaneta kutoka Bunge la Ufaransa walipomtembelea Ofisini kwake Jijini Dodoma. Wakwanza toka kulia ni Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (katikati) akiwaelezea jambo Masaneta kutoka Bunge la Ufaransa na Balozi wa Ufaransa nchini wakati alipowatembeza ndani ya Ukumbi wa Bunge, wakwanza toka kulia ni Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier, Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
 
  Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (katikati) ndani ya Ukumbi wa Bunge katika picha ya pamoja na Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier, (wakwanza toka kulia) Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
 Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai  (katikati) nje ya  Ukumbi wa Bunge katika picha ya pamoja na Balozi wa Ufaransa nchini Frederic Clavier, (wakwanza toka kulia) Seneta Ronan Dantec, Seneta Cyril Pelleah na Seneta Bernard Jomier.
PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...