Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe. Mussa Azzan Zungu (katikati) akiongoza kikao kilichokuwakutanisha Wenyeviti wa Kamati tatu za Bunge (kushoto) na Maseneta kutoka Bunge la Ufaransa (kulia) katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Balozi wa Ufaransa nchini.
Mkuu wa Msafara wa Maseneta toka Bunge la Ufaransa Seneta Ronan Dantec (wakwanza kushoto) akizungumza wakati wa kikao kilichokuwakutanisha Wenyeviti wa Kamati tatu za Bunge (kulia) na Maseneta kutoka Bunge la Ufaransa (kushoto) katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Wenyeviti wa Kamati tatu za Bunge na Maseneta toka Bunge la Ufaransa katika picha pamoja mara baada ya kuzungumza katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Toka kulia ni Mweyekiti wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Mhe. Emmanuel Mwakasaka, Mwenyekiti wa Kamati ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Nape Nnauye, Seneta Cyril Pelleah, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama Mhe. Mussa Azzan Zungu, Mkuu wa Msafara wa Maseneta toka Bunge la Ufaransa Seneta Ronan Dantec na Seneta Bernard Jomier.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...