Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza Bungeni jijini Dodoma, Septemba 10, 2018.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Hussein Mwinyi, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 10, 2018.
Naibu Waziri wa Fedha,Dkt. Ashatu Kijaji akizungumza, Bungeni jijini Dodoma, Septemba 10, 2018.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...