Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu akiongea na wanahabari mara baara ya kukagua eneo lilipokuwa inafanyika kazi ya utoboaji wa bomba la gesi asilia na kuweka toleo katika kijiji cha Mwanambaya Wilayani Mkuranga kwa ajili ya kuwasambazia wateja wa viwandani katika Wilaya hiyo. Picha na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG, Mkuranga.
Naibu Waziri wa Nishati Subira Mgalu akipata maelezo machache kutoka kwa Mhandisi wa Mitambo wa Kampuni Tanzu ya GASCO, Dominic Ngunyami mara baada ya kutembelea eneo la lilipofanyika kazi ya utoboaji wa bomba la gesi asilia na kuweka toleo katika kijiji cha Mwanambaya Wilayani Mkuranga kwa ajili ya kuwasambazia wateja wa viwandani katika Wilaya hiyo.
 Bomba likiwa limetobolewa.
Mafundi wakikamilisha ufungaji wa bomba hilo.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...