Fundi Mkuu wa Mv. Nyerere Alphonse Augustino Cherehani ameokolewa akiwa hai baada ya kukwama ndani ya meli kwa saa zaidi ya 30.
Anaendelea kupata matibabu katika kituo cha afya Bwisya Ukara.
''Mpaka sasa miili ya waliopolewa wakiwa wamekufa ni 163,na kati yao miili 116 imetambuliwa na ndugu zao'' amesema Waziri wa Uchukuzi na mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...