Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Janeth
Magufuli pamoja na Mke wa Waziri mkuu Mama Mary Majaliwa walipoungana na
waumini wengine kusali Ibada ya jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Petro
Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam.Septemba 23,2018.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mkono wa
amani na mmoja wa Masista wakati wa
Ibada ya jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini
Dar es Salaam.Septemba 23,2018.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipewa mkono wa pole
na Paroko msaidizi Padre Batholomeo Bachoo kwa niaba ya Waumini wa Parokia hiyo
kufutia ajali ya Kivuko cha Mv Nyerere iliyotokea katika Ziwa Victoria Septemba
20,2018.Wakati wa Ibada ya jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya
Oysterbay Jijini Dar es Salaam.Septemba 23,2018.
Mke wa Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Janeth Magufuli akipewa mkono wa pole na Paroko
msaidizi Padre Batholomeo Bachoo kwa niaba ya Waumini wa Parokia hiyo kufutia
ajali ya Kivuko cha Mv Nyerere iliyotokea katika Ziwa Victoria Septemba
20,2018.Wakati wa Ibada ya jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya
Oysterbay Jijini Dar es Salaam.Septemba 23,2018.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Paroko
msaidizi Padre Asis Mendonca mara baada ya kushiriki Ibada ya jumapili katika
Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Jijini Dar es Salaam.Septemba 23,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Askari wa Usalama barabarani (Trafiki),alipopata nao chai ya asubuhi mara baada ya kutoka kushiriki Ibada ya Misa Takatifu katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Osterybay Jijini Dar es salaam.Septemba 23,2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata chai ya asubuhi na baadhi ya Askari wa Usalama barabarani (Trafiki) Ikulu Jijini Dar es salaam mara baada ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Osterybay Jijini Dar es salaam.Septemba 23,2018.
PICHA
NA IKULU.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...