Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jockate Mwegelo (wa nne kulia), Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania Ndugu Masanja Kadogosa (wa tatu kulia), wafanyakazi wa Wilaya ya Kisarawe, TRC pamoja na wawakilishi kutoka Mkandarasi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Yapi Merkezi wakijadili namna ambavyo wanaweza kusaidia maendeleo ya Elimu wilayani Kisarawe katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Septemba 22. 2018. 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania Ndugu Masanja Kadogosa (kulia) kwa niaba ya TRC akimuahidi mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate Mwegelo (kushoto) kujenga Madarasa na kuchangia Vyakula ikiwemo Maharage, Mchele na Mafuta ya kupikia kwa wanafunzi walio kambini wakati wa Harambee ya kuchangia maendeleo ya Elimu katika Kampeni ya 'Tokomeza Ziro' iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Septemba 22, 2018.
 Picha ya pamoja baada ya mazungumzo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...