Mkuu
wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jockate Mwegelo (wa nne kulia), Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania Ndugu Masanja Kadogosa (wa tatu
kulia), wafanyakazi wa Wilaya ya Kisarawe, TRC pamoja na wawakilishi
kutoka Mkandarasi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR Yapi Merkezi
wakijadili namna ambavyo wanaweza kusaidia maendeleo ya Elimu wilayani
Kisarawe katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Septemba 22. 2018.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania Ndugu Masanja Kadogosa
(kulia) kwa niaba ya TRC akimuahidi mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe.
Jokate Mwegelo (kushoto) kujenga Madarasa na kuchangia Vyakula ikiwemo
Maharage, Mchele na Mafuta ya kupikia kwa wanafunzi walio kambini wakati
wa Harambee ya kuchangia maendeleo ya Elimu katika Kampeni ya 'Tokomeza
Ziro' iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Septemba 22,
2018.
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...