Jeneza lenye mwili wa Mfalme wa Reggae nchini Marehemu Jah Kimbute ukitelemshwa kwenye nyumba yake ya milele wakati wa mazishi ya mwanamuziki huyo aliyefariki Alhamisi iliyopita nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam. Mazishi hayo yamefanyika Dunga na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji
Wazazi wa Jah Kimbute, Mzee Mrinde Samuel Kimbute na Mama Judith Kimbute baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la mtoto wao wakati wa mazishi ya mwanamuziki huyo aliyefariki Alhamisi iliyopita nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam. Mazishi hayo yamefanyika Dunga na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji
Mjane wa marehemu Jah Kimbute akiweka shada la maua kwenye kaburi wakati wa mazishi ya mwanamuziki huyo aliyefariki Alhamisi iliyopita nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam. Mazishi hayo yamefanyika Dunga na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji
Watoto na mjukuu wa marehemu Jah Kimbute wakiweka shada la maua kwenye kaburi la baba yao wakati wa mazishi ya mwanamuziki huyo aliyefariki Alhamisi iliyopita nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam. Mazishi hayo yamefanyika Dunga na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji. Sikiliza moja ya kazi za Jah Kimbute enzi za uhai wake aliyoitoa miaka ya 1980 akiwa mwanamuziki aliyekuwa mstari wa mbele katika kupigania amani na demokrasia barani Afrika. Picha kwa hisani ya GOTTA IRIE KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...