Jeneza lenye mwili wa Mfalme wa Reggae nchini Marehemu Jah Kimbute ukitelemshwa kwenye nyumba yake ya milele wakati wa mazishi ya mwanamuziki huyo aliyefariki Alhamisi iliyopita nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam. Mazishi hayo yamefanyika Dunga na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji
 Wazazi wa Jah Kimbute, Mzee Mrinde Samuel Kimbute na Mama Judith Kimbute baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la mtoto wao wakati wa mazishi ya mwanamuziki huyo aliyefariki Alhamisi iliyopita nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam. Mazishi hayo yamefanyika Dunga na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji 

 Mjane wa marehemu Jah Kimbute akiweka shada la maua kwenye kaburi wakati wa mazishi ya mwanamuziki huyo aliyefariki Alhamisi iliyopita nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam. Mazishi hayo yamefanyika Dunga na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji
Watoto na mjukuu  wa marehemu Jah Kimbute wakiweka shada la maua kwenye kaburi la baba yao wakati wa mazishi ya mwanamuziki huyo aliyefariki Alhamisi iliyopita nyumbani kwake Msasani jijini Dar es salaam. Mazishi hayo yamefanyika Dunga na kuhudhuriwa na mamia ya waombolezaji. Sikiliza moja ya kazi za Jah Kimbute enzi za uhai wake aliyoitoa miaka ya 1980 akiwa mwanamuziki aliyekuwa mstari wa mbele katika kupigania amani na demokrasia barani Afrika.
Picha kwa hisani ya GOTTA IRIE

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...