Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akipokelewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Emmanuel Nleyi (kushoto) alipowasili mkoani humo, leo. Waziri Lugola yupo safarini akielekea mkoani Kigoma kikazi. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (katikati) akiwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Emmanuel Nleyi (kulia), pamoja Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani humo, SP Nestory Didi. Waziri Lugola yupo safarini akielekea mkoani Kigoma kikazi. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...