1
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mh. Daniel Chongolo akizungumza na wafanyabiashara wa soko la Mwenge alipokutana nao kwenye ukumbi wa Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo kulia ni Kazi Maduhu Kaimu Mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni na kushoto ni Mweka hazina wa Manispaa hiyo Bw. Max Tabonwa.
2
Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Mh. Daniel Chongolo akimsikiliza Kazi Maduhu Kaimu Mkurugenzi wa manispaa ya Kinondoni wakati akitoa ratiba ya kikao cha mkuu huyo wa wilaya ya wafanyabiashara, kushoto ni Mweka hazina wa Manispaa hiyo Bw. Max Tabonwa.
3
Mmoja wa wamiliki wa majengo katika eneo la soko la mwenge akichangia hoja katika mkutano huo.
4
Baadhi ya wafanyabiashara wakiwa katika mkutano huo.
5
Mmoja wa wafanyabiashara akizungumza katika kikao hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...