Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Kamishna Diwani Athuman wakizungumza na Maofisa Wakuu wa Polisi waliopo Makao Makuu ya Polisi wakati wa kikao cha kuweka mikakati ya kuzuia na kupambana na rushwa.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Kamishna Diwani Athuman (kushoto) wakati Mkurugenzi huyo na ujumbe wake walipotembelea Makao Makao Makuu ya Polisi na kufanya kikao na Maofisa Wakuu wa Polisi kwa lengo la kuweka mikakati ya kuzuia na kupambana na rushwa. Wengine ni Naibu Mkurugenzi Mkuu Brigedia Jenerali John Mbungo na Kamishna wa Utawala na Raslimali watu Albert Nyamhanga. (Picha na Jeshi la Polisi).
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Kamishna Diwani Athuman wakiwa katika picha ya pamoja na Maofisa na Viongozi wengine baada ya kumaliza kikao kwa lengo la kuongeza kasi katika kuzuia na kupambana na rushwa. 
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiagana na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Kamishna Diwani Athuman baada ya kumaliza kikao na Maofisa Wakuu wa Polisi Makao Makuu ya Polisi kwa lengo la kuongeza kasi katika kuzuia na kupambana na rushwa. (Picha na Jeshi la Polisi)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...