Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Kamishna Diwani Athuman wakizungumza na Maofisa Wakuu wa Polisi waliopo Makao Makuu ya Polisi wakati wa kikao cha kuweka mikakati ya kuzuia na kupambana na rushwa.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza na Mkurugenzi
Mkuu wa TAKUKURU Kamishna Diwani Athuman (kushoto) wakati Mkurugenzi
huyo na ujumbe wake walipotembelea Makao Makao Makuu ya Polisi na
kufanya kikao na Maofisa Wakuu wa Polisi kwa lengo la kuweka mikakati ya
kuzuia na kupambana na rushwa. Wengine ni Naibu Mkurugenzi Mkuu
Brigedia Jenerali John Mbungo na Kamishna wa Utawala na Raslimali watu
Albert Nyamhanga. (Picha na Jeshi la Polisi).
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro na Mkurugenzi Mkuu wa
TAKUKURU Kamishna Diwani Athuman wakiwa katika picha ya pamoja na
Maofisa na Viongozi wengine baada ya kumaliza kikao kwa lengo la
kuongeza kasi katika kuzuia na kupambana na rushwa.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akiagana na Mkurugenzi
Mkuu wa TAKUKURU Kamishna Diwani Athuman baada ya kumaliza kikao na
Maofisa Wakuu wa Polisi Makao Makuu ya Polisi kwa lengo la kuongeza kasi
katika kuzuia na kupambana na rushwa. (Picha na Jeshi la Polisi)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...