Mwenyekiti wa Kikao cha cha kuandaa Taarifa kuhusu Usimamizi wa Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) katika Bunge Ndg. Athuman Hussen akiongoza kikao hicho  kilichowahusisha Makatibu Kamati kutoka Ofisi ya Bunge kilichofanyika leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
 Makatibu Kamati wa Ofisi ya Bunge wakiwa katika kikao cha kuandaa Taarifa kuhusu Usimamizi wa Utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) katika Bunge.Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...