Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Einar Jensen (kulia) akiukaribisha Ubalozini hapo ujumbe wa Benki ya CRDB ulioongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay (wa pili kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Mussa Nshekela (kushoto), Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki hiyo, Tully Esther Mwambapa waliomtembelea Ofisini kwake, jijini Dar es salaam Oktoba 15, 2018. Ujumbe huo ulifika ubalozini hapo kwa utambulisho rasmi wa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya CRDB baada ya kuchukua nafasi hiyo hivi karibuni. Denmark ni sehemu ya wanahisa wakubwa wa Benki ya CRDB.
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Einar Jensen (wa pili kushoto) akizungumza na ujumbe wa Benki ya CRDB ulioongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay (wa pili kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Mussa Nshekela (kushoto), Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki hiyo, Tully Esther Mwambapa, walipokutana kwa mazungumzo kwenye Ofisi za Ubalozi, jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Mussa Nshekela (wa pili kulia) akifafanua jambo wakati akizungumza na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Einar Jensen (kulia), alipomtembelea Ofisini kwake, jijini Dar es salaam. Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay na kulia ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki hiyo, Tully Esther Mwambapa. kulia kwa Balozi ni Meneja Mipango kitengo cha Biashara wa Ubalozi huo, Ihunyo Boniface Nzogere.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay  na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Mussa Nshekela, wakimsikiliza Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Einar Jensen, walipokutana kwa mazungumzo Ofisini kwake, jijini Dar es salaam.
Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Einar Jensen (katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Mussa Nshekela (kushoto) wakati walipokuwa wakizungumza baada ya kukutana kwenye Ofisi za Ubalozi wa Denmark, jijini Dar es salaam Oktoba 15, 2018.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...