Msajili wa Hazina, Athumani Selemani Mbuttuka (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Mussa Nsekela (kulia) alipokuwa akimkaribisha ofisini kwake, jijini Dar es salaam alipokwenda kwa lengo la kujitambulisha. Katikati ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Laay. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Mussa Nsekela (wa tatu kushoto) akizungumza wakati akielezea mipango na mikati yake kwa Benki hiyo, kwa Msajili wa Hazina, Athumani Selemani Mbuttuka (kushoto) wakati alipompembelea ofisini kwake jijini Dar es salaam, alipokwenda kwa lengo la kujitambulisha. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...