Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohamed Shein
kulia alipotoa hotuba ya Ufunguzi wa maonesho ya kwanza ya Utalii
yaliofanyika Hotel Verde Maruhubi Zanzibar.katikati ni Makamo wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Samia Suluhu Hassan na Mwisho
kushoto ni Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya kale Mahmoud Thabit
Kombo.
Waziri
wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Mahmoud Thabit Kombo akitoa hotuba ya
makaribisho kwa mgeni Rasmi katika ufunguzi wa maonesho ya kwanza ya
Utalii yaliofanyika Hotel Verde Maruhubi Zanzibar.
Baadhi
ya Viongozi wa Serikali waliohudhuria katika ufunguzi wa maonesho ya
kwanza ya Utalii yaliofanyika Hotel Verde Maruhubi Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed
Shein kushoto akipata maelezo kuhusiana na Vitu mbalimbali vya kizamani ikiwemo Pishi katika ufunguzi wa maonesho ya kwanza ya Utalii yaliofanyika Hotel Verde Maruhubi Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohamed Shein wapili kushoto akiuliza maswali kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya Com Net Keith McCormick alipotembelea Banda hilo katika ufunguzi wa maonesho ya kwanza ya Utalii yaliofanyika Hotel Verde Maruhubi Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...