Wakazi wa kata ya Mganza wilayani Chato mkoani Geita wameipongeza Serikali kwa kujenga soko la kimataifa la samaki, dagaa la kasenda  limesaidia kuzalisha Ajira mpya kwa baadhi ya wakazi mkoa huo.

Wakizungumza na na Michuzi Blog  wamesema  wamesema  kabla ya kujengwa kwa soko hilo hawakuwa na uhakika kupata  kipato kwa siku tofauti na sasa ambapo wameanza kunufaika.

Kupata vibarua vya kupakia na kuchambua dagaa.

Kwa upande wake Diwani wa kata ya mganza Bw.Emanuel Mwita amesema  kupitia soko hilo wananchi ambao hawakuwa na kazi maalum sasa wamepata kazi  sokoni hapo ambazo zinawaingizia kipato cha kuendesha maisha ya familia zao. Baadhi ya wananchi  wakiwa bize kuwachambua Dagaa wasiofaa na wanaofaa kwa matumizi mbalimbali.
Baadhi ya wananchi  wakiwa bize kuwachambua Dagaa wasiofaa na wanaofaa kwa matumizi mbalimbali.
 Sehemu ya Magunia ya Dagaa yakiwa yamepangwa vyema ndani ya soko hilo tayari kwa kusafirishwa sehemu mbalimbali kwa matumizi ya binadamu na mifugo.

 Baadhi ya wananchi wa Kata ya Mganza wilaya ya Chato mkoa wa Geita wakipanga magunia ya dangaa kwenye gari.(picha na Emmanuel Massaka wa Global ya jamii)
Wanaume kazini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...