HAKUNA kuchelewesha pale mtu anapotupia ubashiri wake na SportPesa anaingia kwenye Droo ya bajaj Re na unapopigiwa simu ya ushindi kuwa umeshinda bajaj utapelekewa mpaka ulipo bila kutoa hata shilingi.

Ni kwa wakati Mwingine Tena SportPesa inamkabidhi mshindi wa Droo ya saba ya Shinda zaidi na SportPesa bajaj yake huyu ni Magita Mbwega kutoka Kahama aliipokea timu ya ushindi ikiwa na Mzigo wake mpya wa bajaj ilioupeleka mpaka nyumbani kwake.

Mbwega anasema aliweka ubashiri wa shilingi elfu moja pekee na baada ya mechi akashinda shilingi elfu tano lakini habari njema kwake ilikuwa kupokea simu kutoka SportPesa kuwa ameshinda bajaj, Anadai kuwa wakati ameambiwa ameshinda hakuamini kabisa mpaka alipoona timu imefika nyumbani kwake.

shindi huyu wa droo ya Saba ambaye ni mjasiriamali wa kuuza nafaka anaeleza kuwa ili kubashiri sio lazima uwe maskini wala Tajiri bali hii ni Fursa kwa kila mtanzania.

"Unajua jambo ambalo nimejifunza tangu nimeanza kucheza na SportPesa ni kwamba mchezo huu hauchagui maskini wala tajiri mimi nina biashara yangu lakini bado kupitia ubashiri na Sportpesa ninaongeza kila siku mtaji wangu pale naposhinda ubashiri lakini mbali ya hilo leo nimeshinda bajaji naenda kuongeza tena mtaji wangu na pesa nyingine ntakayopata kupitia bajaj hii itaingia kwenye matumizi ya ujenzi wa nyumba yangu nyingine". Alisema Mbwega.

Kwa upande wake mke wa Bwna Mbwega alisema kwake anaona kama neema Ya Mungu imewashukia kutokana na ushindi huo mkubwa kutoka SportPesa huku akiamini baadhi ya changamoto ambazo walishindwa kuzitatua kutokana labda na wingi wa majukumu zitatatuliwa na kipato kitachotokana na bajaj hiyo.

Huu ndio Mchongo wa Maana hivi sasa kwa watanzania kwani kwa kutumia simu Yeyote ya Mkononi unaweza piga *150*87# ukajisajili na SportPesa na kuanza kucheza , au unaweza kucheza kupitia tovuti yani www.sportpesa.co.tz kumbuka kuweka pesa kuanzia buku au zaidi ili uanze kucheza namba ya kampuni ni 150888 na kumbukumbu namba ni 888 kumbuka kucheza mara nyingi ndio kuongeza nafasi ya kushinda bajaj.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...