Marehemu Kondo Mohamed Msumi amefariki usiku wa kuamikia Oktoba 3, 2018 akiwa hospitalini akipatiwa matibabu.
Kamati ya Umoja wa Watanzania Ujerumani UTU e.V imewasiliana na ndugu wa marehemu waliopo Ujerumani na Tanzania Tumeazimia kupitisha michango ili kutuwezesha kufanikisha mazishi ya ndugu yetu, bado hatujajua kwamba tutazika hapa Ujerumani au tutasafirisha, tutawaletea taarifa zaidi kadiri tunavyozipata.
Kamati imechagua Rafiki wa karibu na familia ya Kondo ili kupokea michango hiyo. Michango yote ipitishwe kwenye acc ifuatayo.
Gls Bank,
Jafari Juma Mazangwi.
IBAN:DE15 4306 0967 4046 5996 00.
Bic: GENODEM1GLS.
Tunawaomba watanzania wote kutoa michango kwa wingi ili kumuhifadhi ndugu yetu marehemu Kondo Mohamed Msumi Asanteni
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...