Mshambuliaji wa Prisons Jeremia Juma akiwa anaambaambaa na mpira wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) dhidi ya African Lyon uliomalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu ya 0-0 kwenye Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Mtanange Ukiendelea
Beki wa Tanzania Prisons Leon Mutalemwa (23) akiwania mpira na mchezaji wa African Lyon Ismail Gambo (17) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) dhidi ya African Lyon uliomalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu ya 0-0 kwenye Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.
Mchezaji wa African Lyon Adam Omary (7) akiwania mpira na beki wa Tanzania Prisons Benjamin Asukile (6) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara (TPL) uliomalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu ya 0-0 kwenye Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya.PICHA ZOTE NA MR.PENGO MICHUZI MEDIA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...