Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii
Wachimbaji wa visima wameaswa kufuata sharia ,kanuni pamoja na taratibu ziliziowekwa na bodi ya Bonde la Wami/Ruvu ili kulinda vyanzo vya maji katika kuhakikisha wananchi wanapata maji safi na salama.
Hayo ameyasema Katibu Tawala Msaidizi wa Huduma za maji Mkoa wa Dar es Salaam , Elizabeth Kingu wakati akizungumza na wadau wa uchimbaji wa Visima uliondaliwa na Bodi ya Bonde la Wami/ Ruvu uuliofanyika jijini Dar es Salaam.
Kingu amesema kuwa sharia zilizowekwa lazima zifuatwe kwa wachimbaji kuhakikisha wanakuwa na vibali kutoka katika bonde ambao ndio wasimamizi wa vyanzo vya maji.
Amesema kuwa vyanzo vya maji vinahitaji kudhibitiwa kw kuhakikisha kila mtu anafuata sheria ya kufanya kazi ikiwa ni lengo moja ya kutoa huduma kwa wananchi.
Nae Afisa wa Maji wa Bonde la Wami/ Ruvu Mhandisi Simon Ngonyani amesema kuwa kumekuwa na uchimabji holela wa visima huku wengine wakiwa hawana hata leseni kutoka bonde. Amesema kuwa baada ya kikao hicho watafanya operesheni ya kuangalia visima hivyo kwa wenye visima na vibali ya uhalali pamoja Ankara zao kama wanalipa.
Wachimbaji wa visima wameaswa kufuata sharia ,kanuni pamoja na taratibu ziliziowekwa na bodi ya Bonde la Wami/Ruvu ili kulinda vyanzo vya maji katika kuhakikisha wananchi wanapata maji safi na salama.
Hayo ameyasema Katibu Tawala Msaidizi wa Huduma za maji Mkoa wa Dar es Salaam , Elizabeth Kingu wakati akizungumza na wadau wa uchimbaji wa Visima uliondaliwa na Bodi ya Bonde la Wami/ Ruvu uuliofanyika jijini Dar es Salaam.
Kingu amesema kuwa sharia zilizowekwa lazima zifuatwe kwa wachimbaji kuhakikisha wanakuwa na vibali kutoka katika bonde ambao ndio wasimamizi wa vyanzo vya maji.
Amesema kuwa vyanzo vya maji vinahitaji kudhibitiwa kw kuhakikisha kila mtu anafuata sheria ya kufanya kazi ikiwa ni lengo moja ya kutoa huduma kwa wananchi.
Nae Afisa wa Maji wa Bonde la Wami/ Ruvu Mhandisi Simon Ngonyani amesema kuwa kumekuwa na uchimabji holela wa visima huku wengine wakiwa hawana hata leseni kutoka bonde. Amesema kuwa baada ya kikao hicho watafanya operesheni ya kuangalia visima hivyo kwa wenye visima na vibali ya uhalali pamoja Ankara zao kama wanalipa.
Katibu Tawala Msaidizi wa Huduma za
maji Mkoa wa Dar es Salaam Elizabeth Kingu akizungumza wakati akifungua mkutano
wa wachimbaji visima ulioondaliwa na Bonde la Wami/Ruvu uliofanyika jijini Dar
es Salaam.
Mkurugenzi Msaidizi wa Rasilimali
za Maji, Utafiti na Tathimini wa Wizara ya Maji, Hosea Sanga akizungumza
kuhusiana wizara ya maji ilivyotoa mamlaka ya katika bonde katika usimamizi wa
vyanzo vya maji.
Afisa wa Maji wa Bonde la
Wami/Ruvu akitoa mada kwa wachimabji wa visima kuhusiana na sheria za uchimbaji
visima hivyo pamoja na mamlaka ya Bonde katika utoaji wa vibali vya
uchimbaji katika mkutano uliofanyika
jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau wa uchimbaji
visima wakiwa katika mkutano huo leo jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...