Meneja wa Bandari za Ziwa Tanganyika, Bw Ajuaye Msese, kulia akimuonyesha Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TPA, Prof Ignatus Rubaratuka moja ya mashine za kupakua na kupakia mizigo melini wakati Wakurugenzi wa Bodi hiyo pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa TPA Mhandisi Deusdedit Kakoko walipokuwa wakikagua gati ya Bandari ya Kassanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TPA, Prof Ignatus Rubaratuka akiangalia jinsi gati ya Bandari ya Kassanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa ilivyojengwa.
Wakurugenzi wa bodi ya TPA wakibadilishana mawazo na meneja wa bandari za Ziwa Tanganyika wakati wakikagua gati ya Bandari ya Kassanga iliyopo Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...