Meneja Masoko wa CRDB Micro Finance, Ariel Mkony (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kufanya droo ya tatu ya promosheni ya “Shinda na SimAccount”, iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa CRDB Micro Finance, Mikocheni jijini Dar es salaam leo. Kushoto ni Msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini ,Abdallah Hamedi
Meneja Masoko wa CRDB Micro Finance, Ariel Mkony akiendesha droo ya tatu ya promosheni ya “Shinda na SimAccount”, iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa CRDB Micro Finance, Mikocheni jijini Dar es salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...