Malikia wa Nguvu 2018,Bahati Mandoa  akizungumza na wanfunzi wa  shule ya sekondari Makumbusho  juu ya watoto wa kiume wahamasishwa kuwalinda watoto wa kike ili  kufikia malengo yao wakati wa taasisi ya Taesafo ilipokwenda shuleni hapo katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike Duniani leo jijini Dar es Salaam.(picha na Emmanuel Massaka wa Global ya jamii)
Viongizo wa taasisi ya Faeso wakimkabidhi Mwalimu wa Taaluma wa shule hiyo,Augustino Joseph(kulia)vifaa mbalimbali kwaajili ya wanafunzu wa kidato cha nne leo katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike Duniani..(picha na Emmanuel Massaka wa Global ya jamii)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...