Malikia wa Nguvu 2018,Bahati Mandoa akizungumza na wanfunzi wa shule ya sekondari Makumbusho juu ya watoto wa kiume wahamasishwa kuwalinda watoto wa kike ili kufikia malengo yao wakati wa taasisi ya Taesafo ilipokwenda shuleni hapo katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike Duniani leo jijini Dar es Salaam.(picha na Emmanuel Massaka wa Global ya jamii)
Viongizo wa taasisi ya Faeso wakimkabidhi Mwalimu wa Taaluma wa shule hiyo,Augustino Joseph(kulia)vifaa mbalimbali kwaajili ya wanafunzu wa kidato cha nne leo katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike Duniani..(picha na Emmanuel Massaka wa Global ya jamii)
Home
Unlabelled
WATOTO WA KIUME WAHAMASISHWA KUWALINDA WATOTO WA KIKE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...