Na Karama Kenyunko.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeamuru Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini Ester Matiko, wakamatwe na kufikishwa mahakamani waje kujieleza kwa nini dhamana yao isifutwe kwa kukiuka masharti ya dhamana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...