Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Alex Mkenyenge (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitangaza mashindano ya riadha kwa wanawake yanayoitwa “Ladies First” yanayotarajiwa kufanyika tarehe 24-25 Novemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, kulia ni Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa Taasisi ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Japan (JICA) Bw. Toshio Nagase na kushoto ni Katibu Msaidizi wa Chama cha Riadha nchini (RT) Bi. Ombeni Zavala.
Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa Taasisi ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Japan (JICA) Bw. Toshio Nagase akifafanua  jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza mashindano ya riadha kwa wanawake yanayoitwa “Ladies First” yanayotarajiwa kufanyika tarehe 24-25 Novemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, katikati ni Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Alex Mkenyenge na kushoto ni Katibu Msaidizi wa Chama cha Riadha nchini (RT) Bi. Ombeni Zavala.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Riadha nchini (RT) Bi. Ombeni Zavala akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza mashindano ya riadha kwa wanawake yanayoitwa “Ladies First” yanayotarajiwa kufanyika tarehe 24-25 Novemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, katikati ni Kaimu Katibu Mkuu wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Alex Mkenyenge na kulia ni ni Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa Taasisi ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Japan (JICA) Bw. Toshio Nagase.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mwakilishi Mkazi Mwandamizi wa Taasisi ya Ushirikiano wa Kimataifa ya Japan (JICA) Bw. Toshio Nagase (wa pili toka kushoto) wakati wa kutangaza mashindano ya riadha kwa wanawake yanayoitwa “Ladies First” yanayotarajiwa kufanyika tarehe 24-25 Novemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Picha na WHUSM- Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...