Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Florence Luoga (katikati) akiwa katika mazungumzo na viongozi wa Benki ya CRDB, waliofika ofisini kwake mwishoni mwa wiki kwa lengo la kumtambulisha Mkurugenzi Mtendaji mpya, Abdulmajid Nsekela (kulia) aliyeambatana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki hiyo, Ally Laay (wa pili kulia) wengine pichani ni Manaibu Gavana, Dkt. Bernard Kibesse (kushoto) na Dkt. Julian Banzi.
Manaibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Bernard Kibesse (wa pili kushoto) na Dkt. Julian Banzi (kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kulia) aliyeambatana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki hiyo, Ally Laay (kulia), baada ya kikao chao, kilichofanyika kwenye ofisi ya Gavana wa Benki Kuu, jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.
Manaibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Dkt. Bernard Kibesse (wa tano kushoto) na Dkt. Julian Banzi (wa nne kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa tano kulia) pamoja na ujumbe wa Benki hiyo.
Baadhi ya viongozi wa Benki ya CRDB wakipatiwa maelezo walipokuwa wakiangalia picha za Gavana mbalimbali waliopita.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...