Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) akimkaribisha ofisini kwake, Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti aliyemtembelea na kuzungumza naye maswala yakiwemo ya kibiashara kwa mkoa wa Kagera, kilichofanyika jana jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela alipomtembelea ofisini kwake, jijini Dar es salaam kwa mazungumzo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...