UNIVERSAL AUCTION CENTRE Kwa idhini waliyopewa na EUROPEAN UNION, UNICEF, FHI360, WORLD BANK NA BAM INTERNATIONAL watauza kwa mnada wa hadhara Fanicha za ofisini, vifaa vya maofisini, magari, genereta na makontena matupu tarehe 17 November, 2018 Jumamosi kuanzia saa 3:30 asubuhi. Mnada utafanyika Golden Resort Sinza, Mtaa wa Lion,
Dar es salaam
Mali Zitakazouzwa: Meza za Ofisi 70, Viti vya Ofisi, Chest drawer, Vitanda, Magodoro, Book case, Steel Cabnet, Fridge, Mashine kubwa za kufua, Canon Photo copy mashine10 model C2220i,2225i & 2230i colour, Power bank 3KVA(UPS) Viyoyozi vingi (A/c Split unit) Fertilizer Spreader m/c, 8 units assorted GYM machines,Trailer 2 Tons na vingine vingi.
Magari, Trela,Genereta na Samani zote zinaweza kukaguliwa Golden Resort Sinza,Lion Street kuanzia tarehe 14 mpaka 16 November, 2018, saa 4:00asubuhi mpaka saa 11:00 jioni.
Makontena yanaweza kukaguliwa BAM International eneo la mradi JK Nyerere International Air port Terminal 3 November 14 – 16,2018 Saa 3:00asubuhi mpaka Saa 5:00asubuhi na Saa 7:00mchana mpaka Saa 10:00jioni.
MASHARTI YA MNADA.
Mnunuzi wa Fanicha atatakiwa kulipa malipo yote kwa keshia (cashier). Na mnunuzi wa Gari, Kontena na genereta atatakiwa kulipa 25% pale pale na salio lilipwe ndani ya siku 5 za kazi mwisho wa kulipa tarehe 23,November 2018 saa 10:00 jioni, ukishindwa kulipa kwa muda huo Gari, Kontena au Genereta litauzwa kwa mshindi mwingine aliyefata na dhamana haitarudishwa.
Malipo kwa njia ya VISA na Master cards za bank ya CRDB yanakubalika.
Mali zote zitauzwa kama zilivyo bila dhamana.
Mnunuzi atawajibika kulipa ushuru na kodi zingine zote.
Mali yote iliyouzwa itatakiwa kuondolewa baada ya kulipa malipo yote pamoja na kodi
Kila mtu atatakiwa lazima kuwa na bid namba itakayopatikana getini.
Kwa maelezo zaidi waone:
UNIVERSAL AUCTION CENTRE
PLOT NO: 5 “E” LION STREET SINZA DAR ES SALAAM
CELL NO: 0754 284 926, 0757 284 926 E-mail: universalauction@hotmail.com
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...