RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Watu wa Jamuhuri ya China Mhe. Cai Defeng, alipowasili Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo wa Rais wa Zanzibar leo tarehe 18/11/2018


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Ujumbe wa Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Watu wa Jamuhuri ya China, Ikulu Zanzibar, akitambulishwa na Makamu Mwenyekiti wa Bunge Mr. Cai Defeng katikati.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Watu wa Jamuhuri ya China Ikulu Zanzibar,kulia Makamu Mwenyekiti wa Bunge la China Mr. Cai Defeng na Ujumbe wake walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo leo,18/11/2018

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Watu wa China Mr. Cai Defeng alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo.akiwa na Ujumbe wake

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Watu wa Jamuhuri ya China na Ujumbe wake na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, baada ya mazungumzo yao Ikulu Zanzibar.tarehe 18/11/2018
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na mgeni wake Makamu Mwenyekiti wa Bunge la Watu wa Jamuhuri ya China Mr. Cai Defeng akimuonesha mandhari ya visiwa vya Zanzibar wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano baada ya mazungumzo yao Ikulu Zanzibar.leo tarehe 18/11/2018.(Picha na Ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...