Mkurugenzi idara ya Uhusiano wa Kimataifa na Itifaki Ndugu Eliufoo Daniel akiwakaribisha wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali ambao wamefika bungeni tayari kwa ajili ya kuanza bunge la vijana.

Afisa wa Bunge Idara ya Kamati Ndugu Michael Chikokoto akiwapa elimu jinsi Idara ya kamati inavyofanya kazi bungeni.
Wanafunzi mbalimbali waliokuja bungeni kwa ajili ya bunge la vijana wakipata picha ya pamoja mbele ya mlango wa kuingia ukumbi wa bunge.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...