Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa akizungumza
na Mbunge wa jimbo la Gairo Mh. Ahmed Shabiby katika viwanja vya
Bunge jijini Dodoma mara baada ya bunge kuahirishwa kwa mapumziko ya
mchana.PICHA NAJOHN BUKUKU-BUNGENI JIJINI DODOMA
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa akizungumza
na Mbunge wa viti maalum mkoa wa Arusha Mh. Amina Mollel.
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa akifurahia
jambo na Mbunge wa jimbo Mufindi Mh. Mahmoud Mgimwa katika viwanja vya
Bunge jijini Dodoma leo.
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa akiwa
katika picha ya pamoja na Mbunge wa jimbola Dodoma mjini na Naibu waziri Ofisi ya waziri mkuu (kazi, Vijana na ajira) Anthony Mavunde na vijana wa UVCCM Dodoma walipotembelea bungeni.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...