Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akifurahia upinde aliopewa na wazee wa kijiji cha Kilimarondo wilayani
Nachingwea ikiwa ni ishara ya kumtakia ulinzi wakati wote anapotimiza
majukumu yake ya kulitumikia taifa. Alikuwa katika mkutano wa hadhara
aliouhutubia kijijini hapo, Novemba 17, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akifurahia upinde aliopewa na wazee wa kijiji cha Kilimarondo wilayani
Nachingwea ikiwa ni ishara ya kumtakia ulinzi wakati wote anapotimiza
majukumu yake ya kulitumikia taifa. Alikuwa katika mkutano wa hadhara
aliouhutubia kijijini hapo, Novemba 17, 2018.
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akimsikiliza Mwenyekiti wa kijiji cha Mtua, wilayani
Nachingwea, Anthony Makota wakati aliposoma taarifa kuhusu matatizo
yanayokikabili kijiji hicho mbele ya Waziri Mkuu ambaye alisimama
kijijini hapo kuwasalimia wananchi, Novemba 17, 2018 . Kulia ni Mbunge
wa Nachingwea, Hasan Masala. Picha na Ofisi ya Wazri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...