Afisa Masoko na Mahusiano wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo(TADB),Grace Ngailo(kulia) akimpa maelezo mgeni rasmi, Rais wa taasisi ya Southern African Confederation Agricultural Unions(Sacau),Dk Sinare Yusuf Sinare(kushoto)wakati wa maonesho ya taasisi za fedha kuwakutanisha na wakulima jijini Arusha.
 Rais wa taasisi ya Southern African Confederation Agricultural Unions(Sacau),Dk Sinare Yusuf Sinare(kulia) akisalimiana na maafisa wa Tanzania Horticultural Assocition(Taha) jijini Arusha.
 Wananchi wakiwa kwenye moja ya mabanda ya taasisi mbalimbali za fedha kwaajili ya kupata taarifa za mikopo kwaajili ya kilimo jijini Arusha.
 Wananchi wakiwa kwenye banda la taasisi ya serikali ya PASS inayojishughulisha na utoaji wa mikopo kwaajili ya kilimo nchini wakati wa maonesho ya yaliyoandaliwa na Taha jijini Arusha.
 Meneja Kiongozi wa Benki ya NMB anayeshughulikia Kilimo,Oscar Rwechungura(kushoto) akizungumza na wakulima katika maonesho ya taasisi za fedha yaliyoandaliwa na asasi ya kilimo cha mbogamboga na matunda(Taha) ya jijini Arusha.

KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...