Naibu
Waziri wa Madini, Doto Biteko akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa
Ofisi ya Afisa Migodi Mkazi Mahenge-Ulanga mkoani Morogoro, jana
Disemba 14, 2018. Wanaoshuhudia ni viongozi mbalimbali wa Serikali, Tume
ya Madini pamoja na wachimbaji madini.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Naibu
Waziri wa Madini, Doto Biteko akisaini kitabu cha wageni baada ya
kufungua ofisi ya Afisa Migodi Mkazi Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro.
Aliyesimama ni mbunge wa Jimbo la Ulanga, Goodluck Mlinga.
Mkuu wa Wilaya Ulanga, Ngolo Malenya akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi ya Afisa Migodi Mkazi wilayani humo.
Naibu
Waziri wa Madini, Doto Biteko (wa tatu), Mkuu wa Wilaya Ulanga, Ngolo
Malenya (wa pili kulia), Kamishna wa Madini kutoka Tume ya Madini, Dkt.
Athanas Macheyeke (wa kwanza kushoto), Mbunge Jimbo la Ulanga, Goodluck
Mlinga (wa pili kushoto) pamoja na Afisa Migodi Mkazi Wilaya ya Ulanga,
Tandu Jilabi (wa kwanza kulia) wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya
ufunguzi wa ofisi hiyo.
Naibu
Waziri wa Madini, Doto Biteko akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi
mbalimbali wakiwemo wa Serikali, Tume ya Madini pamoja na wachimbaji
madini wilayani Ulanga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...