(Halotel) Naibu Mkurugenzi wa Halotel, Trieu Tanh Binh, (Kulia) pamoja na Mkurugenzi wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) Eng. Peter Ulanga, wakitia saini mkataba wa makubaliano wa awamu ya tatu kwa ajili ya kusambaza mawasiliano vijijini, utakao wezesha kampuni hiyo kufikia Zaidi ya vijiji 300, anaeshuhudia ni Waziri wa Mawasiliano, Ujenzi na Uchukuzi Eng. Aisack. (Katikati)

Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (ucsaf) Eng. Peter Ulanga (Kushoto) akipongezana na Naibu Mkurugenzi wa Halotel Trieu Tanh Binh (Kulia) mara baada ya kutia saini Mkataba wa wa Kusambaza mawasiliano vijijini utakao wezesha kampuni hiyo kufikia Zaidi ya vijiji 300, anaeshuhudia ni Waziri wa Mawasiliano, Ujenzi na Uchukuzi Eng. Aisack. (Katikati)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...