Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI amewataka wakandarasi wanaojenga
barabara ya lami ya Kisarawe – Maneromango kwa kipande kinacho endelea
cha wastani wa Kilometa sita kuongeza kasi ya ujenzi.
Waziri Jafo amewataka wakandarasi hao wakati alipokuwa akifanya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayojengwa wilayani Kisarawe. Barbara hiyo yenye urefu wa kilometa 54.8 inayojengwa kwa awamu mbalimbali itawasaidia sana wananchi wa wilaya ya Kisarawe na watalii mbalimbali wanaokwenda kutembelea mbuga ya selous kupitia Kisarawe .
Waziri Jafo ambaye ni Mbunge wa Kisarawe akiongea na moja ya mkandarasi anayejenga barabara ya Kisarawe – Maneromango kwa kipande cha Kazimzumbwi
Waziri Jafo akiwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya Kisarawe katika ukaguzi wa barabara ya Kisarewe – Maneromango
Wakandarasi wakina katika harakati za ujenzi eneo la Kazimzumbwi .
Waziri Jafo amewataka wakandarasi hao wakati alipokuwa akifanya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayojengwa wilayani Kisarawe. Barbara hiyo yenye urefu wa kilometa 54.8 inayojengwa kwa awamu mbalimbali itawasaidia sana wananchi wa wilaya ya Kisarawe na watalii mbalimbali wanaokwenda kutembelea mbuga ya selous kupitia Kisarawe .
Waziri Jafo ambaye ni Mbunge wa Kisarawe akiongea na moja ya mkandarasi anayejenga barabara ya Kisarawe – Maneromango kwa kipande cha Kazimzumbwi
Waziri Jafo akiwa na Mwenyekiti wa CCM wilaya Kisarawe katika ukaguzi wa barabara ya Kisarewe – Maneromango
Wakandarasi wakina katika harakati za ujenzi eneo la Kazimzumbwi .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...