Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Amon Mpanju (aliyesimama) akifungua kikao kazi cha kupitia rasimu ya taarifa ya nchi chini ya mkataba wa umoja wa mataifa wa haki za watu wenye ulemavu, kulia kwake ni Kaimu Kamishna Idara ya walemavu ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Josephine Lyenga. Wengine ni Afisa Mipango Mwandamizi Ofisi ya Makamu wa Rais Idara ya Walemavu Bw. Abushir Said Khatib (kushoto) Mwingine ni Kaimu Mkurugenzi Idara ya Haki za Binadamu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Nkasori Sarakikya. Kikao hicho cha siku mbili kimeanza leo (6/12/2018) kinafanyika Morena Hotel Mkoani Dodoma.
Baadhi ya washiriki wa kikao kazi kazi cha kupitia rasimu ya taarifa ya nchi chini ya mkataba wa umoja wa mataifa wa haki za watu wenye ulemavu wakimsilikiza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Amon Mpanju alipokuwa anafungua kikao hicho.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Amon Mpanju akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa kikao kazi cha kupitia rasimu ya taarifa ya nchi chini ya mkataba wa umoja wa mataifa wa haki za watu wenye ulemavu.

0468

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...