Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika Kikao cha Kazi alichokiitisha cha kujadili namna ya kuondoa kero zinazowapata wawekezaji  kuhusu upatikanaji wa vibali vya Kazi na Uhamiaji. Kikao  hicho kilichofanyika ofisini kwa Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam, Desemba 19, 2018, kiliwahusisha Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama (wapili kulia), Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamadi Masauni (watatu kushoto) ,  Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira,  Anthony Mavunde (watatu kulia), Kamishina wa Uhamiaji, Dkt. Anna Peter Makakala (wapili kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Geofrey Mwambe. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya TCCIA, Ofisini kwa Waziri Mkuu, jijini Dar es salaam, Desemba 19, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...