Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiMhandisi Stella Manyanya (Mb)  akisikiliza wafanyakazi wa TanTrade namna huduma ya Kliniki ya Biashara inavyofanya kazi ya kutatua changamoto za wafanyabiashara kwenye Maonesho ya Tatu ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yalifanyika tarehe 5 hadi 9 Desemba, 2018 katika uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K.Nyerere Dar es Salaam 
 Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiMhandisi Stella Manyanya (Mb) akisikiliza wafanyakazi wa TanTrade namna huduma ya Kliniki ya Biashara inavyofanya kazi ya kutatua changamoto za wafanyabiashara kwenye Maonesho ya Tatu ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yalifanyika tarehe 5 hadi 9 Desemba, 2018 katika uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K.Nyerere Dar es Salaam. Katikakati ni Mhe Constantine Kanyasu (Mb) Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii na kushoto ni Bw. Edwin Rutageruka Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade   
 Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na UwekezajiMhandisi Stella Manyanya (Mb)  akitoa maelekezo kwa Bw Edwin Rutageruka, Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade na wafanyakazi wa TanTrade ya namna ya kuwafikia wananchi ili kupata huduma ya Kliniki ya Biashara inayotolewa bure na TanTrade kwenye Maonesho ya Tatu ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yalifanyika tarehe 5 hadi 9 Desemba, 2018 katika uwanja wa Maonesho wa Mwl J.K.Nyerere Dar es Salaam. Katikakati ni Mhe Constantine Kanyasu (Mb) Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...