Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Onesmo Buswelu(kushoto)ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Siha,akipokea msaada wa mifuko 70 ya Mbolea aina ya Urea kwa ajili ya vikundi vya kina mama wanaojishughulisha na kilimo mkoani humo,Msaada huo umetolewa na GSM Tanzania na kukabidhiwa na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa GSM Group,Matina Nkurlu(kulia)anaeshuhudia katikati ni Afisa mauzo wa kampuni hiyo kanda ya kaskazini Nurdin Mangenya 
 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Onesmo Buswelu(kulia)ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Siha,akihesabu mifuko ya 70 ya Mbolea aina ya Urea mara baada ya kukabidhiwa kama msaada  kwa ajili ya vikundi vya kina mama wanaojishughulisha na kilimo mkoani humo,Msaada huo umetolewa na GSM Tanzania na kukabidhiwa na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa GSM Group,Matina Nkurlu(kushoto)
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Onesmo Buswelu(kulia)ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Siha,akihesabu mifuko ya 70 ya Mbolea aina ya Urea mara baada ya kukabidhiwa kama msaada  kwa ajili ya vikundi vya kina mama wanaojishughulisha na kilimo mkoani humo,Msaada huo umetolewa na GSM Tanzania na kukabidhiwa na Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa GSM Group,Matina Nkurlu(katikati)anaeshuhudia kushoto ni Afisa mauzo wa kampuni hiyo kanda ya kaskazini,Nurdin Mangenya 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...