Kazi
ya Usimikaji wa Nguzo za Umeme utakaotumika Kuendesha treni za Kisasa
zitakazotumia Umeme na Reli ya kisasa - SGR imeanza eneo la Soga nje
Kidogo ya Kambi ya Ujenzi wa Reli ya Kisasa liyopo Soga mkoani
Pwani mapema Desemba 2018. Nguzo hizo zinajengwa umbali wa Mita 500
kutoka nguzo moja hadi nyingine, urefu wa nguzo moja ni Mita 9.5 huku
uzito wa nguzo Moja ukiwa Tani 2.4, zina uwezo wa kudumu kwa kipindi cha
Miaka 120 pia zimewekewa madini ya Zinki kwa ajili ya kuzuia kutu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...